AFRIMARKETSTORE — SOKO KUU LA KIDIJITALI TANZANIA 
Karibu AfriMarketStore, jukwaa kubwa na salama la biashara ya mtandaoni (Multi-Vendor Marketplace) nchini Tanzania . Soko letu limeundwa mahususi kuleta mageuzi ya kibiashara kwa kuwaunganisha wauzaji waaminifu wa maduka mikoa yote ya Tanzania na Afrika Mashariki moja kwa moja na wateja wao .
Dhumuni Letu Kuu la Kibiashara:
  • Kuondoa Utapeli Mtandaoni: Tumejenga mfumo imara wa malipo ambapo usalama wa fedha za mnunuzi na mtaji wa muuzaji unalindwa kwa asilimia 100% tangu sekunde ya kwanza ya muamala .
  • Kutokomeza Changamoto ya Umbali: Wateja wa mikoani sasa wanaweza kununua bidhaa moja kwa moja popote Tanzania kwa bei ileile ya sokoni na kusafirishwa kwa mabasi au pikipiki kwa walio karibu kwa usalama mkubwa hadi walipo .
  • Kukuza Biashara za Ndani: Tunampa kila mfanyabiashara fursa ya kufungua duka lake bure la kidijitali ndani ya jukwaa letu ili afikie mamilioni ya wateja bila gharama za pango .
Bidhaa Tunazoratibu:
Tunaratibu rafu pana za bidhaa za jumla na rejareja ikiwemo: Vifaa bora vya umeme, mitindo na fashion ya kileo, simu janja (Smartphones) na Gadgets za kijanja, vifaa vya magari, bidhaa za kilimo na mifugo na bidhaa nyingine mbali mbali.
Chapa Yetu:
AfriMarketStore ni taasisi rasmi ya kibiashara inayofanya kazi kiprofeshonali kulainisha mnyororo wa manunuzi nchini . Tunasimamia uaminifu, kasi ya usafirishaji, na huduma bora kwa wateja wetu wakati wote.
Agiza bidhaa sasa na ifikie kwa usalama zaidi! Nunua Sasa
0

Shopping Cart
0

Ongeza bidhaa ya TSh Sh 1,000,000 tu ili usafirishewe mzigo wako BURE! Angalia Bidhaa
Scroll to Top